Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Nandi wahamasishwa kuhusu afya na hatari ya ulevi kupitia mafunzo ya NACADA

  • | Citizen TV
    340 views
    Duration: 1:19
    Mamlaka ya Kitaifa ya Kupambana na Dawa za Kulevya (NACADA), kwa ushirikiano na Idara ya Kitaifa ya kudhibiti Magonjwa, imeendesha mpango wa kuhamasisha wakaazi wa Nandi kuhusu magonjwa yanaysababishwa na ulevi.