Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wapinga upanuzi wa barabara ya Nyahururu-Gilgil wakisema hawataki kuhamishwa kwa lazima

  • | Citizen TV
    11,519 views
    Duration: 2:20
    Baadhi ya wakazi wamepinga mpango wa kupanua barabara ya Nyahururu-Gilgil, wakisema hawataki kuhamishwa kwa lazima. Wafanyabiashara katika eneo hilo wana hofu kuwa utekelezaji wa mradi huo unaweza kuathiri shughuli zao za kibiashara.