- 224 viewsDuration: 2:07Mamia ya wakazi wa Chebinyiny katika eneo bunge la Bureti wafanya mkutano mkubwa wa public participation na sensitization pamoja na maafisa wa Kenya Railways, huku wakielezwa kuhusu utaratibu wa kupata hati zao za umiliki wa ardhi baada ya sehemu ya mashamba yao kuathiriwa na ujenzi wa reli.