- 1,522 viewsDuration: 3:11Wakenya 80 walitoweka kwa njia tata katika muda wa miaka mitatu iliyopita, huku mashirika ya haki sasa yakitaka Bunge kuharakisha utungaji wa sheria ya ulinzi wa waathiriwa. Familia zinazoendelea kuwatafuta jamaa zao waliokongamana mjini Mombasa zinalalamikia kulegea kwa serikali kuwapa majibu kuhusu waliko jamaa zao. Francis Mtalaki anaaarifu kutoka Mombasa.