Skip to main content
Skip to main content

Wakimbizi wa mapigano eneo la Ololama, TransMara wapewa msaada

  • | Citizen TV
    221 views
    Duration: 1:35
    Wakimbizi wa mapigano baina ya jamii mbili eneo la Ololama Ang'ata Barikoi eneo bunge la Transmara Kusini waliokita kambi katika Shule ya msingi ya Siteti wamepokea msaada wa chakula ikiwemo mahindi, Maharagwe, malazi na Nguo kutoka kwa wahisani.