Skip to main content
Skip to main content

Wakulima wa chai Nandi wapongeza kupunguzwa kwa bei ya mbolea

  • | Citizen TV
    313 views
    Duration: 1:42
    Wakulima wa chai katika Kaunti ya Nandi wamepongeza hatua ya serikali ya kupunguza bei ya mbolea hadi Shilingi 2,000 kutoka 2,500 wakisema hatua hiyo itasaidia kupunguza gharama za uzalishaji na kuongeza mavuno.