Skip to main content
Skip to main content

Wakulima wahimizwa kupuuza siasa kwenye mamlaka ya KTDA

  • | Citizen TV
    274 views
    Duration: 1:28
    Kamati ya usimamizi wa KTDA imewaonya wakulima wa majani chai kutojihusisha na siasa na badala yake wafuate ushauri wa watu wenye maarifa ili kuondoa utata katika usimamizi wa chai.