31 Aug 2026 10:51 am | Citizen TV 848 views Duration: 1:32 Wakuu wa vyuo vikuu wameitaka serikali kuu kupitia wizara ya elimu kuhakikisha mfumo wa ufadhili kwa wanafunzi wa vyuo vikuu unatolewa ili masomo ya wanafunzi hasa wa mwaka wa kwanza yasitatizike.