- 329 viewsDuration: 2:57Huku Shule zinapofungua milango yake kwa muhula wa tatu, vyama vya walimu KUPPET na KNUT tawi la Samburu vimetishia kutatiza masomo endapo wanachama wake wanaohudumu katika maeneo yenye utovu wa usalama hawatahakikishiwa usalama wao. hatua hiyo inajiri siku chache baada ya mwalimu wa shule ya Nkutuk Eng'iron, kuuwawa na mifugo wake kuibwa.