- 198 viewsDuration: 2:01Chama cha Kutetea Masilai ya walimu wa shule za Sekondari na Vyuo vya Kadri KUPPET Tawi la Kajiado kinatishia kuanza mgomo iwapo serikali haitajitokeza na kuwapa sikio kuhusu matakwa yao ikiwemo malalamishi kwenye bima ya afya ya SHA. Wakihutubia wanahabari katika mji wa Isinya Kaunti ya Kajiado Viongozi wa chama hicho wanasema sehemu nyingi ya mashinani ya Kajiado bima hiyo haifanyi kazi, huku pia wakidai inagharamia kiwango kidogo cha fedha ikilinganishwa na Bima ya minet wlaiyotumia awali.