Skip to main content
Skip to main content

Wanahabari waandamana Meru wakilalamikia kudhulumiwa kwa mwanahabari

  • | Citizen TV
    727 views
    Duration: 1:38
    Waandishi w ahabari wa kaunti ya meru walifanya maandamano kulalamikia kudhulumiwa kwa mwanahabari wa kituo cha televisheni cha K24 Nelson Mutwiri na waziri wa utumishi wa umma wa kaunti hiyo Nturibi Etirikia.