Skip to main content
Skip to main content

Wanasiasa saba wajitosa kinyang’anyiro cha ugavana NairobiScript:

  • | Citizen TV
    4,824 views
    Duration: 2:36
    Kinyang’anyiro cha kutafuta kiti cha ugavana wa kaunti ya Nairobi kimeonekana kushika kasi, huku wanasiasa saba tayari wakitangaza azma ya kuwania wadhifa huo. Wa punde zaidi kutangaza kujiunga na kinyang’anyiro hicho ni Mbunge wa zamani wa Starehe, Askofu Margaret Wanjiru. Ben Kirui anaarifu, akiangazia waliotangaza hamu ya kuwa gavana wa jiji kuu la Kenya.