Skip to main content
Skip to main content

WANASIASA WATAKIWA KUKOMA KUCHOCHEA VURUGU KABLA YA UCHAGUZI

  • | KNA Video
    93 views
    Duration: 2:54
    Baraza la Muungano wa Kidini nchini (IRCK), tawi la Kilifi, limewataka viongozi wa kisiasa kujiepusha na matamshi ya uchochezi yanayoweza kusababisha vurugu kabla na baada ya uchaguzi mkuu. Viongozi hao pia wamewahimiza vijana kutokubali kutumiwa kisiasa na badala yake kusimamia amani nchini.