Skip to main content
Skip to main content

Washukiwa wa mauaji ya Dkt. Mutiso walalamika kuhusu udhalilishaji

  • | Citizen TV
    1,507 views
    Duration: 1:31
    Rose Mulwa na mwanawe Chris Mulwa, ambao ni washukiwa wakuu katika mauaji ya dkt Victoria Mutiso, wameishutumu serikali na mahakama kwa kile walichokiita udhalilishaji na kutotendewa haki, baada ya kufikishwa mahakamani kuhusiana na kesi hiyo.