Skip to main content
Skip to main content

Watu watatu wauawa kwenye uvamizi wa wizi wa mifugo Turkana Kusini

  • | Citizen TV
    2,025 views
    Duration: 3:19
    Hali ya taharuki imetanda katika eneo la Lokwaar,Nakuse eneo bunge la Turkana Kusini,, baada ya watu watatu kuuliwa na wezi wa mifugo wanaodaiwa kutoka kaunti jirani. Katika mashambulizi hayo ya usiku wa manane,mifugo zaidi ya elfu mbili waliibwa