Skip to main content
Skip to main content

Wavuvi watano waangamia baada ya boti kuzama Ziwa Victoria, Siaya

  • | Citizen TV
    1,070 views
    Duration: 38s
    Wavuvi sita wamesombwa maji katika visa viwili tofauti kwenye fuo za sanda na Mageta, katika ziwa victoria kaunti ya Siaya. Kisa cha kwanza kilitokea kwenye ufuo wa Sanda, ambapo wavuvi watano walisombwa maji baada ya boti walimokuwa ndani kuanguka ziwa victoria. Miili ya wavuvi wawili imefikishwa kwenye makafani ya Got Agulu, huku shughuli ya kutafuta miili ya wavuvi watatu ikiendelea.