Skip to main content
Skip to main content

Wavuvi watano waangamia ziwa Victoria, wawili waokolewa Siaya

  • | Citizen TV
    563 views
    Duration: 1:13
    Wavuvi watano wamefariki baada ya boti walimokuwa kuzama katika eneo la Dho-Goye kwenye ziwa Victoria kaunti ya Siaya. Ripoti kutoka eneo hilo zikiarifu kuwa, miili miwili tayari imeopolewa kutoka kwenye ziwa hilo huku juhudi zikiendelea kuopoa miili mingine mitatu.