- 2,189 viewsDuration: 1:32Wazee wa jamii ya Abaluhya wamepinga kufanyika kwa sherehe ya Iteso inayotarajiwa kufanyika Jumamosi katika Shule ya Esibembe, Bukhayo. Hatua hiyo imezua mgogoro wa kitamaduni huku pande mbalimbali zikitoa msimamo kuhusu kufanyika kwa sherehe hiyo.