Skip to main content
Skip to main content

Wazee wa Samburu waendeleza juhudi za kukomesha ukeketaji na ndoa za mapema

  • | Citizen TV
    220 views
    Duration: 2:54
    Baraza la wazee wa jamii ya wasamburu limeafikiana kuendeleza juhudi za kukomesha mila potovu ya ukeketaji na ndoa za mapema, ili kuwalinda watoto wa kike kutoka jamii hiyo. Na jinsi anavyoarifu Mwanahabari wetu Bonface Barasa, baraza hilo limeelezea haja ya jamii kukumbatia elimu ya mtoto wa kike kikamilifu ili kukomesha mila hiyo ya kale na katili.