Skip to main content
Skip to main content

Waziri Murkomen apendekeza kuongeza masharti ya usajili

  • | Citizen TV
    456 views
    Duration: 1:54
    Waziri wa usalama kipchumba murkomen, amependekeza hatua kali zaidi kwenye mchakato wa kuwasajili makurutu wa polisi. akizungumza katika chuo cha mafunzo ya polisi cha kiganjo mjini nyeri, murkomen aliipongeza idara ya polisi kwa kuwatimua makurutu 54 kutoka chuo hicho kutokana na visa vya utovu wa nidhamu.