Skip to main content
Skip to main content

Waziri Ruku ataka wakenya kuchukua vitambulisho vyao

  • | Citizen TV
    984 views
    Duration: 46s
    Waziri wa utumishi wa umma Geoffrey Ruku amehimiza wakenya ambao vitambulisho vyao vya kitaifa vingali kwenye vituo vya huduma kote nchini kuvichukua na kujisajili kuwa wapigakura. Akizungumza alipozuru kituo cha huduma cha Garissa, Ruku amesema kuwa inatamausha kuona vitambulisho zaidi ya elfu nne vikiwa havijachukuliwa na wenyewe kwenye kituo hicho.