- 300 viewsDuration: 52sWaziri wa Kilimo Mutahi Kagwe, ametoa onyo dhidi ya uagizaji wa dawa za kuua wadudu wa mimea ambazo zimepigwa marufuku katika nchi zingine . Kagwe ametangaza kuwa Wizara ya Kilimo imeimarisha ukaguzi kuanzia mipakani hadi madukani ili kulinda afya ya wakenya.