Moto Uhispania wauwa watu 10 katika jumba la wastaafu
Moto ulisababisha vifo vya takriban watu 10 katika jumba la wastaafu kaskazini mwa Uhispania, serikali ya mkoa wa Aragon imesema leo Ijumaa.
Moto huo katika mji wa Villafranca del Ebro, kilomita 35 kusini mashariki mwa Zaragoza ulianza katika makazi ya wazee mapema leo. Ilichukua saa kadhaa kwa wafanyakazi wa zima moto kutoka eneo la Zaragoza kudhibiti moto huo, msemaji wa serikali ya mkoa alisema. Msemaji huyo hakusema iwapo waathirika wote walikuwa wakazi wa mji huo wa wastaafu, ambapo takriban watu 82 wanaishi hapo. Mtu mmoja alikuwa katika hali mbaya kiafya, huku watu kadhaa wengine wakipata huduma, haswa kutokana na kuvuta moshi. Chanzo cha moto huo bado kinaendelea kuchunguzwa.
#moto #uhispania #vifo #makazi #wazee #wastaafu #jengo #aragon #zaragoza #voa #voaswahili
17 Jun 2025
- Gachagua has torn into President Ruto for what he terms as a disregard for human life.
17 Jun 2025
- The mask vendor was unarmed and shot in full glare of the public.
17 Jun 2025
- One person was shot by police at point-blank range, amid allegations police turned a blind eye to armed goons who attacked protesters.
18 Jun 2025
- Mali began construction of a new Russia-backed gold refinery on Monday, which the West African country's military leader said would take it closer to asserting control over its natural resources.
18 Jun 2025
- Senegal has postponed until June 23 the publication of its budget execution reports for the last two quarters, the finance ministry said in a statement, as the new administration works to rebuild investor trust after a hidden-debt scandal.
18 Jun 2025
- Why insurance regulator is reluctant to approve microinsurance products
18 Jun 2025
- Why African diaspora are choosing to settle in Kenya
18 Jun 2025
- I was rejected on Shark Tank Now I run a multi-million-dollar business
18 Jun 2025
- Kisumu's female coffin makers defy gender stereotypes
18 Jun 2025
- Families in pain as abductions, killings spark fresh fears
18 Jun 2025
- Is Ruto fully in charge or is he held captive by allies in government?
18 Jun 2025
- Moi University defends sacking over 1,000 staff
18 Jun 2025
- State unleashes goons to beat and rob protesters, residents