- 657 viewsDuration: 1:46Huku zoezi la kuajiri makurutu wa Jeshi la Ulinzi la Kenya KDF likiendelea katika sehemu mbalimbali nchini, vijana katika Kaunti ya Trans Nzoia wamejitokeza kwa wingi kushiriki kwenye shughuli ya usajili ambayo imeingia siku yake ya tatu katika eneo hilo.