Rais wa Marekani na viongozi wengine watembelea bandari ya Lobito Angola
Biden akiwa ameandamana na mwenyeji wake Rais João Lourenço, Rais wa Zambia Hakainde Hichilema na Makamu Rais wa Tanzania Philip Mpango akitembelea mradi wa ujenzi wa reli ya Lobito, ambapo Marekani na washirika wake wakuu wanaufadhili.
Reli hiyo itakuwa na urefu wa kilomita 13,000 kutoka Zambia hadi Angola kupitia Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.
Viongozi hao vile vile wamekutana na wawakilishi wa makampuni yatakayofaidika na mradi huo ikiwemo ya mawasiliano inayoimarisha huduma zake katika eneo hilo, kampuni ya uzalishaji chakula na kampuni ya Pennyslvania inayotengeneza vyuma vya kujenga madaraja, yenye mkataba wa kuwasilisha vifaa vyake nchini Angola.
#biden #us #angola #luanda #voa #rais #marekani #reli #lobito #pennyslvania #voa #voaswahili
21 Jul 2025
- The activist was arrested on Saturday.
21 Jul 2025
- The matatu was officially unveiled at KICC over the weekend.
21 Jul 2025
- The move comes just days to the CHAN 2024 tournament.
21 Jul 2025
- Former Law Society of Kenya (LSK) President Eric Theuri has criticized the government’s decision to charge arrested protesters with terrorism-related offenses, calling the move "ridiculous" and lacking any legal foundation.
21 Jul 2025
- A gang of over 10 people raided a coffee factory in Mwea East, Kirinyaga County tied and injured two night watchmen before escaping with 26 bags of the farm product valued at 1.8 million.
21 Jul 2025
- His lawyers want the case to be transferred to Milimani Law Courts
21 Jul 2025
- Kiswahili connects cultures at Confucious Institute.
21 Jul 2025
- As incomes stagnate or dwindle, the cost of living continues to soar
21 Jul 2025
- Ex-governor and her family take over the Umoja na Maendeleo Party.
21 Jul 2025
- The arrest triggered widespread public attention, with authorities claiming to have recovered items that raised national security concerns.
21 Jul 2025
- Trump and Epstein: What was their relationship?
21 Jul 2025
- Police in Kisumu have seized and destroyed over 200 litres of illicit brew found hidden in a thicket following a tip-off from members of the public.
21 Jul 2025
- David Maraga: From CJ to activism, could he become King?