- 12 views
Vuguvugu la mashirika ya kijamii linaitaka serikali kuweka mikakati ya dharura kuimarisha huduma za matibabu kwa wagonjwa wa saratani chini ya Halmashauri ya Afya ya Jamii, SHA. Hii inafuatia lalama za baadhi ya manusura wa saratani waliosimulia masaibu wanayopitia kutokana na ukosefu wa huduma na dawa ambazo zingeweza kuokoa maisha humu nchini. Kwenye kikao na wanahabari jijini Nairobi wakati wa maadhimisho ya Siku ya Saratani Ulimwenguni, manusura hao walisema kwamba tangu mpito kutoka bima ya hazina ya kitaifa ya matibabu, NHIF hadi halmashauri ya SHA, fedha zilizotengwa kugharamia matibabu ya saratani humu nchini zimepungua kutoka shilingi laki sita hadi laki tatu kwa mwaka. Wanasema licha ya kulipia matibabu hitajika kwa kipindi cha miezi sita, hawajaweza kupokea dawa hizo katika hospitali za umma.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Manusura waitaka serikali kulainisha malipo ya SHA
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction
- 6 Jul 2025 - 35 years later, Saba Saba continues: Meeting of different generations, same script
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist