- 854 viewsViongozi wakuu wa dunia wanakutana kujadili masuala ya AI mjini Paris ambako mazungumzo ya kidiplomasia yenye changamoto yanatarajiwa wakati ambapo makundi ya teknolojia yanapigania utawala katika sekta ya teknolojia inayosonga kwa kasi. Wakuu wa nchi, viongozi wa juu wa serikali, wakurugenzi wakuu na wanasayansi kutoka nchi 100 wanashiriki katika mkutano wa kimataifa wa siku mbili unaoanza leo Jumatatu. Wahudhuriaji wakuu ni pamoja na Makamu Rais wa Marekani JD Vance, katika ziara yake ya kwanza nje ya nchi tangu aingie madarakani, na Makamu wa Waziri Mkuu wa China, Zhang Guoqing. Tunaishi katika mapinduzi ya teknolojia na kisayansi ambayo hatujawahi kuyaona, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema Jumapili katika televisheni ya taifa ya Ufaransa. Ufaransa na Ulaya lazima zichukue fursa kwa sababu AI itatuwezesha kuishi vizuri, kujifunza vizuri, kufanya kazi vizuri, kujihudumia vizuri, na ni juu yetu kuiweka akili mnemba katika utoaji huduma ya binadamu, alisema. - VOA. #akilimnemba #ai #ufaransa #mkutano #teknolojia #makamurais #marekani #jdvance #voa #voaswahili
Makamu wa Rais JD Vance ahudhuria mkutano wa AI Ufaransa
- - KTN PRIME Highlights ››
- 7 Aug 2025 - Former Chief Justice and presidential hopeful David Maraga has called for the resignation of all public officials involved in irregularities flagged by the Auditor General's audit report that exposed billions in unaccounted funds on the eCitizen platform.
- 7 Aug 2025 - The government now says no money was lost on the eCitizen platform, explaining that accounting systems after the contractual agreements with the system vendors sealed all the loopholes for corruption in the platform.
- 7 Aug 2025 - National and county government hospitals will now benefit from a new medical equipment initiative that will provide modern health machines.
- 7 Aug 2025 - The ODPP has reacted to a recently aired documentary by the BBC, titled ‘Madam: Exposing Kenya's Child Sex Trade’, which highlights alleged cases of sexual trafficking and exploitation of minors in Maai Mahiu, Nakuru County.
- 7 Aug 2025 - The Social Health Authority (SHA) has spent over Ksh.56 billion in the past ten months to promote Universal Health Coverage (UHC) across the country.
- 7 Aug 2025 - As Galana Energies continues to celebrate its 25 years as a Kenyan owned and led oil marketing company, the firm is proud to commemorate the milestone and continue giving back to the community in a meaningful manner.
- 7 Aug 2025 - Angola broke deadlock in the 7th minute before Kenya restored parity three minutes later
- 7 Aug 2025 - What respondents said in a survey
- 7 Aug 2025 - The three-day event was organised by NMG in Nairobi.
- 7 Aug 2025 - Senior School comprises Grades 10 to 12 and starts in January, 2026