- 208 viewsUmoja wa Muungano wa Afrika (OAU), ambayo hivi sasa ni Umoja wa Afrika (AU), uliundwa Mei 25, 1963, huko Addis Ababa, Ethiopia, kukuza umoja na mshikamano kati ya nchi za Afrika na kuchangia katika maendeleo ya uchumi, kijamii na kisiasa barani humo. OAU iliasisiwa na mataifa ya Kiafrika 32 ambayo yalikuwa yamejipatia uhuru. Tukio la kukumbukwa wakati umoja huo unaundwa ilikuwa ni upandaji mti uliofanywa na viongozi wa mataifa hayo 32. Miaka 62 baadaye, miti hiyo bado inaendelea kuwa ni kivutio kinachoonekana huko Addis Ababa, ambapo watu huketi katika vivuli vya miti hiyo. Katika Mkutano wa 38 wa AU, mwandishi wa VOA Kennedy Abate alitembelea eneo la Afrika Park kuchukua picha za miti hiyo iliyopandwa na Mfalme Haile Selassie, Kwame Nkrumah, Jomo Kenyatta, na viongozi wengine waasisi. #AU #africanunion #ethiopia #voa
Miti iliyopandwa na waasisi wa Umoja wa Afrika miaka 62 iliyopita
- 16 Jun 2025 - Government Spokesperson Dr. Isaac Mwaura has come out to dispel reports that Kenya is involved as an architect in the Sudan war.
- 16 Jun 2025 - Tanzanian opposition leader Tundu Lissu told a court on Monday he had been denied his basic legal rights and that he would defend himself against a treason charge that carries the death penalty.
- 16 Jun 2025 - The Director of Public Prosecutions (DPP) has told the court that Nairobi Central Police Station OCS Samson Taalam interfered with crucial evidence related to an ongoing investigation into the death of Albert Ojwang in police custody.
- 16 Jun 2025 - Kilifi Governor Gideon Mung’aro is mourning the death of his father, Mzee Gideon Baya Mung’aro, who passed away on Sunday, June 15, 2025.
- 16 Jun 2025 - Private investors will take over hundreds of government facilities if the proposal passes.
- 16 Jun 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has urged the Kenyan youth to avoid taking to the streets on June 25 to commemorate the deadly aftermath of the anti-tax protests , warning that there is a plot to kill them.
- 16 Jun 2025 - There have been calls for the DIG to resign after the alleged killing of blogger Albert Ojwang in custody.
- 16 Jun 2025 - In any functioning democracy, Mr. Lagat would have resigned by now. His continued presence in office is a stain on our national values and a threat to the integrity of the investigations.
- 16 Jun 2025 - Former Chief Justice David Maraga now wants president William Ruto to take action following the heinous murder of teacher Albert Ojwang', saying the buck stops with him as the head of government.
- 16 Jun 2025 - Food4Education calls for enhanced budgets to sustain school feeding initiatives