Usuhuba wa Raila na Rais Ruto wadaiwa kukinzana na utetezi wa utawala bora Kenya
Raila Odinga mwanasiasa mashuhuri na mzoefu nchini Kenya aliyepania kunyakuwa nafasi ya uongozi wa kiti cha Tume ya Umoja wa Afrika licha ya umaarufu wake na kampeni kali aliyoifanya alishindwa kushinda uchaguzi huo. Katika mkutano wa kilele wa Umoja wa Afrika uliofanyika Addis Ababa, Ethiopia, viongozi wa Afrika walimchagua Waziri wa Mambo ya Nje wa Djibouti, Mahmoud Ali Youssouf, kuwa Mwenyekiti mpya wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC).
Youssouf alishinda nafasi hiyo baada ya kuwabwaga wagombea wengine wawili: Raila Odinga, aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, na Richard Randriamandrato, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Madagascar. Ungana na mwandishi wa VOA, Kenya Zainab Said akikuletea mtiririko wa mambo mbali mbali yanayo elezwa na wachambuzi na wananchi wa Kenya kuhusu safari ya Odinga ya kisiasa na vipi imeweza kuchangia kuanguka kwake katika uchaguzi huu. Endelea kusikiliza...
#AU #umojawaafrika #railaodinga #kenya #addisababa #djibouti #mahmoudaliyoussouf #uchaguzi #mwenyekiti #tume #williamruto #voaswahili
16 Jun 2025
- The medics allege a sinister plot by the government.
16 Jun 2025
- This is the latest government plan slated to benefit ordinary Kenyans.
16 Jun 2025
- Kenya is already expecting some Ksh75 billion from the IMF in climate funding expected this November.
16 Jun 2025
- Former Deputy President Rigathi Gachagua has urged the Kenyan youth to avoid taking to the streets on June 25 to commemorate the deadly aftermath of the anti-tax protests , warning that there is a plot to kill them.
16 Jun 2025
- Former Chief Justice David Maraga now wants president William Ruto to take action following the heinous murder of teacher Albert Ojwang', saying the buck stops with him as the head of government.
16 Jun 2025
- The Independent Policing Oversight Authority (IPOA) has filed a miscellaneous application seeking to detain Nairobi Central Police Station OCS, Samson Taalam, for 21 days to allow completion of investigations into the gruesome murder of blogger Albert…
16 Jun 2025
- The medics allege a sinister plot by the government.
16 Jun 2025
- This is the latest government plan slated to benefit ordinary Kenyans.
16 Jun 2025
- Treasury Cabinet Secretary John Mbadi has reiterated that the 2025/2026 Budget is specifically tailored for the ordinary Kenyan, taking into account fiscal responsibility, tax relief, and enhanced efficiency in public spending. Addressing concerns…
16 Jun 2025
- Ojwang, a blogger and teacher, died on June 7 while in custody at Central Police Station.
16 Jun 2025
- The CVR captures audio from the cockpit, including pilot conversations, alarms and ambient sounds.
16 Jun 2025
- The People’s Liberation Party leader Martha Karua has slammed President William Ruto over his recent remarks suggesting he would not hand over power if he loses the 2027 general election, saying the Constitution is clear that transfer of power is a…
16 Jun 2025
- The directors argued that they were employees and had been unfairly dismissed; the party argued that they were not employees but consultants.