- 1,499 viewsMsemaji wa Serikali ya Tanzania, Greson Msigwa, amesema kuwa nchi imejipatia chanzo kikubwa cha umeme wa gharama nafuu na kwamba Watanzania wanapaswa kuwa na subira wakati Serikali inachakata na kutekeleza hatua zinazohitajika ili kushusha bei ya umeme. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye Bwawa la Mwalimu Nyerere, Rufiji, Mkoa wa Pwani. Msigwa alieleza kuwa Serikali imewekeza katika miradi mikubwa ya uzalishaji umeme na kuwa, licha ya kiu ya wananchi ya kuona bei za umeme zikishuka, Serikali haitakimbilia kufanya maamuzi ya haraka bila kutathmini madhara yake. “Tanzania sasa ina umeme wa gharama ya chini zaidi Afrika. Gharama zetu za umeme ni za chini kiasi kwamba tunapata changamoto ya kuvutia wawekezaji wa sekta binafsi. Wawekezaji wanapenda kuwekeza kwenye maeneo ambapo gharama za umeme ni juu ili waweze kupata faida kubwa,” alisema Msigwa. Aidha, alisisitiza kuwa Serikali itaendelea kuchukua hatua madhubuti kuhakikisha kuwa Watanzania wanapata umeme kwa bei nafuu, huku ikijitahidi kuboresha miundombinu na kuchochea ukuaji wa sekta ya nishati nchini. Ripoti ya Amri Ramadhani, VOA, Tanzania. #gresonmsigwa #msemaji #serikali #rufiji #mkoawapwani #bwawa #mwalimunyerere #gharama #serikali #voa #voaswahili #tanzania
'Najua kiu ya Watanzania nikutaka kuona umeme unashuka bei, tuachieni serikali tuchakate...'
- - NTV Kenya LIVE ››
- 16 Jun 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has urged the Kenyan youth to avoid taking to the streets on June 25 to commemorate the deadly aftermath of the anti-tax protests , warning that there is a plot to kill them.
- 16 Jun 2025 - Former Chief Justice David Maraga now wants president William Ruto to take action following the heinous murder of teacher Albert Ojwang', saying the buck stops with him as the head of government.
- 16 Jun 2025 - The Independent Policing Oversight Authority (IPOA) has filed a miscellaneous application seeking to detain Nairobi Central Police Station OCS, Samson Taalam, for 21 days to allow completion of investigations into the gruesome murder of blogger Albert…
- 16 Jun 2025 - The medics allege a sinister plot by the government.
- 16 Jun 2025 - This is the latest government plan slated to benefit ordinary Kenyans.
- 16 Jun 2025 - Treasury Cabinet Secretary John Mbadi has reiterated that the 2025/2026 Budget is specifically tailored for the ordinary Kenyan, taking into account fiscal responsibility, tax relief, and enhanced efficiency in public spending. Addressing concerns…
- 16 Jun 2025 - Ojwang, a blogger and teacher, died on June 7 while in custody at Central Police Station.
- 16 Jun 2025 - The CVR captures audio from the cockpit, including pilot conversations, alarms and ambient sounds.
- 16 Jun 2025 - The People’s Liberation Party leader Martha Karua has slammed President William Ruto over his recent remarks suggesting he would not hand over power if he loses the 2027 general election, saying the Constitution is clear that transfer of power is a…
- 16 Jun 2025 - The directors argued that they were employees and had been unfairly dismissed; the party argued that they were not employees but consultants.