Mjasiriamali aeleza changamoto za biashara ya unoaji visu
Salum Ally ni Mkazi wa Dar es Salaam alieamua kujiajiri kupitia unoaji wa visu na mapanga majumbani. Hivi sasa kazi hiyo imekuwa chanzo kikuu cha mapato kwake yeye na familia yake ambapo kazi hiyo inampa fursa ya kusomesha watoto wake pamoja na kukidhi mahitaji ya familia yake licha ya changamoto anazokutana nazo.
Kwa upande wa wateja wa biashara hiyo ya unoaji visu wameeleza namna gani wananufaika na kazi ya unoaji majumbani inayofanywa na Ally wakisema kazi hiyo inawarahisishia kupata huduma ya kunolewa visu vyao majumbani bila kufika katika maeneo ya masoko ambapo ndipo wanoaji hupatikana kwa wingi anaeleza Sheyma Ayoub, Mkazi wa Dar es Salaam.
#visu #unaoaji #salumally #mkazi #daressalaam #familia #mjasiriamali #biashara #voaswahili #voa
11 Aug 2025
- The tortoises grow up to 18cm.
11 Aug 2025
- Rice is one of the foods Kenyans consume in large quantities every year.
11 Aug 2025
- Bundles of the fake currency were recovered from the city hotel.
11 Aug 2025
- The Judiciary is now looking to make a closer and safer step into the future of technology with the latest unveiling of a framework that will guide the integration of Artificial Intelligence (AI) tools in enhancing operations at the Judiciary.
11 Aug 2025
- The High Court has temporarily stopped the government from implementing a Cabinet decision allowing the duty-free importation of 500,000 metric tonnes of rice.
11 Aug 2025
- Interior Cabinet Secretary (CS) Kipchumba Murkomen has reiterated that Democracy for Citizens Party (DCP) leader Rigathi Gachagua must honor the order to record a statement over his remarks on terrorism while in the United States.
11 Aug 2025
- Treasury Cabinet Secretary John Mbadi intends to engage officials from the ministry of education over school capitation crisis.
11 Aug 2025
- A disturbing assault caught on video showing a businessman going by the name Pavilion physically attacking a female content creator, Bella Comedy, at the Kutiti Festival at Nairobi's Carnivore Gardens has triggered widespread outrage.
11 Aug 2025
- The tortoises grow up to 18cm.
11 Aug 2025
- What respondents said in a survey.
11 Aug 2025
- Twice a week -- on Mondays and Fridays -- a dedicated team of 10 youth patrol a three-km stretch of Coco Beach, collecting up to 400 kg of waste.
11 Aug 2025
- Rice is one of the foods Kenyans consume in large quantities every year.
11 Aug 2025
- The British High Commissioner to Kenya, Neil Wigan is set to depart Kenya at the end of August marking an end to his 2 year tenure at the position.