- 128 viewsMsemaji wa Serikali ya Tanzania, Greson Msigwa, amesema kuwa chanzo cha maji ni njia nafuu zaidi ya kuzalisha umeme kuliko vyanzo vingine, akibainisha kuwa gharama za uzalishaji wa umeme kwa kutumia maji ni shilingi 30 kwa uniti moja, huku kwa kutumia mitambo ya mafuta gharama zikiwa shilingi 940 kwa uniti moja. Alisisitiza kuwa licha ya kutumia gesi, ambayo imechangia katika uzalishaji wa umeme kwa gharama ya shilingi 170 kwa uniti, maji ni suluhisho la gharama nafuu kwa Watanzania. Msigwa ameeleza kuwa katika mwezi Disemba 2024, kiwango cha juu cha umeme kilifikia megawati 1900, na sasa wastani ni megawati 1880. Amesema bwawa la Mwalimu Nyerere linatoa matumaini makubwa katika kuongeza uzalishaji wa umeme. Aidha, amezungumzia miradi mikubwa ya kuboresha miundombinu ya umeme, ikiwemo mradi wa gridi imara wa zaidi ya shilingi trilioni 4, ambao umekamilika na kupunguza kelele za kukatika kwa umeme. Amebainisha kuwa Serikali inaendelea kujenga miradi ya usafirishaji wa umeme, kama vile njia ya Tanzania-Zambia, ambayo itasaidia kupeleka umeme kwenye nchi jirani. Pia, Msigwa alizungumzia miradi ya njia za kusafirisha umeme kutoka Chalinze hadi Dodoma, na mradi wa kuunganisha gridi ya taifa na nchi za Afrika Mashariki, ambapo Tanzania imefanikiwa kuunganisha na Kenya. Alisema mradi huu utakapokamilika, utawawezesha wateja wapya kupata umeme kutoka kwa gridi ya taifa. Ripoti ya Amri Ramadhani, VOA, Tanzania. #gresonmsigwa #msemaji #serikali #rufiji #mkoawapwani #bwawa #mwalimunyerere #gharama #serikali #voa #voaswahili #tanzania #gharamanafuu
'...uzalishaji wa umeme kwa kutumia maji ni shilingi 30 kwa uniti moja...'
- - NTV Kenya LIVE ››
- 16 Jun 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has urged the Kenyan youth to avoid taking to the streets on June 25 to commemorate the deadly aftermath of the anti-tax protests , warning that there is a plot to kill them.
- 16 Jun 2025 - Former Chief Justice David Maraga now wants president William Ruto to take action following the heinous murder of teacher Albert Ojwang', saying the buck stops with him as the head of government.
- 16 Jun 2025 - The Independent Policing Oversight Authority (IPOA) has filed a miscellaneous application seeking to detain Nairobi Central Police Station OCS, Samson Taalam, for 21 days to allow completion of investigations into the gruesome murder of blogger Albert…
- 16 Jun 2025 - The medics allege a sinister plot by the government.
- 16 Jun 2025 - This is the latest government plan slated to benefit ordinary Kenyans.
- 16 Jun 2025 - Treasury Cabinet Secretary John Mbadi has reiterated that the 2025/2026 Budget is specifically tailored for the ordinary Kenyan, taking into account fiscal responsibility, tax relief, and enhanced efficiency in public spending. Addressing concerns…
- 16 Jun 2025 - Ojwang, a blogger and teacher, died on June 7 while in custody at Central Police Station.
- 16 Jun 2025 - The CVR captures audio from the cockpit, including pilot conversations, alarms and ambient sounds.
- 16 Jun 2025 - The People’s Liberation Party leader Martha Karua has slammed President William Ruto over his recent remarks suggesting he would not hand over power if he loses the 2027 general election, saying the Constitution is clear that transfer of power is a…
- 16 Jun 2025 - The directors argued that they were employees and had been unfairly dismissed; the party argued that they were not employees but consultants.