- 128 viewsMsemaji wa Serikali ya Tanzania, Greson Msigwa, amesema kuwa chanzo cha maji ni njia nafuu zaidi ya kuzalisha umeme kuliko vyanzo vingine, akibainisha kuwa gharama za uzalishaji wa umeme kwa kutumia maji ni shilingi 30 kwa uniti moja, huku kwa kutumia mitambo ya mafuta gharama zikiwa shilingi 940 kwa uniti moja. Alisisitiza kuwa licha ya kutumia gesi, ambayo imechangia katika uzalishaji wa umeme kwa gharama ya shilingi 170 kwa uniti, maji ni suluhisho la gharama nafuu kwa Watanzania. Msigwa ameeleza kuwa katika mwezi Disemba 2024, kiwango cha juu cha umeme kilifikia megawati 1900, na sasa wastani ni megawati 1880. Amesema bwawa la Mwalimu Nyerere linatoa matumaini makubwa katika kuongeza uzalishaji wa umeme. Aidha, amezungumzia miradi mikubwa ya kuboresha miundombinu ya umeme, ikiwemo mradi wa gridi imara wa zaidi ya shilingi trilioni 4, ambao umekamilika na kupunguza kelele za kukatika kwa umeme. Amebainisha kuwa Serikali inaendelea kujenga miradi ya usafirishaji wa umeme, kama vile njia ya Tanzania-Zambia, ambayo itasaidia kupeleka umeme kwenye nchi jirani. Pia, Msigwa alizungumzia miradi ya njia za kusafirisha umeme kutoka Chalinze hadi Dodoma, na mradi wa kuunganisha gridi ya taifa na nchi za Afrika Mashariki, ambapo Tanzania imefanikiwa kuunganisha na Kenya. Alisema mradi huu utakapokamilika, utawawezesha wateja wapya kupata umeme kutoka kwa gridi ya taifa. Ripoti ya Amri Ramadhani, VOA, Tanzania. #gresonmsigwa #msemaji #serikali #rufiji #mkoawapwani #bwawa #mwalimunyerere #gharama #serikali #voa #voaswahili #tanzania #gharamanafuu
'...uzalishaji wa umeme kwa kutumia maji ni shilingi 30 kwa uniti moja...'
- 11 Aug 2025 - Mobile phone ownership in Kenya has risen from 47.3% in 2019 to 53.7% in 2024 as internet usage also increased nationally from 22.7 per cent in 2019 to 35.0 per cent in 2024.
- 11 Aug 2025 - The Judiciary is now looking to make a closer and safer step into the future of technology with the latest unveiling of a framework that will guide the integration of Artificial Intelligence (AI) tools in enhancing operations at the Judiciary.
- 11 Aug 2025 - The High Court has temporarily stopped the government from implementing a Cabinet decision allowing the duty-free importation of 500,000 metric tonnes of rice.
- 11 Aug 2025 - Interior Cabinet Secretary (CS) Kipchumba Murkomen has reiterated that Democracy for Citizens Party (DCP) leader Rigathi Gachagua must honor the order to record a statement over his remarks on terrorism while in the United States.
- 11 Aug 2025 - Treasury Cabinet Secretary John Mbadi intends to engage officials from the ministry of education over school capitation crisis.
- » Bella Comedy: Viral assault on Kalenjin female comedian sparks outrage, calls for arrest of perpetrator11 Aug 2025 - A disturbing assault caught on video showing a businessman going by the name Pavilion physically attacking a female content creator, Bella Comedy, at the Kutiti Festival at Nairobi's Carnivore Gardens has triggered widespread outrage.
- 11 Aug 2025 - The notice had authorized the duty-free importation of Grade 1 milled white rice to cushion consumers from an anticipated shortage.
- 11 Aug 2025 - The President announced a new cash incentive for Stars in upcoming matches.
- 11 Aug 2025 - The hospital said the suspension followed requests from insurance partners.
- 11 Aug 2025 - Youth lead adoption, with over 80 per cent of 18-34-year-olds owning a phone, yet low income, poor electricity access, and limited education remain barriers.