Skip to main content
Skip to main content

Mpango wa kunadhifisha jiji la Mombasa wazinduliwa

  • | KBC Video
    426 views
    Duration: 1:15
    Serikali ya kaunti ya Mombasa imezindua mpango kabambe wa utupaji takataka kwa nia ya kuimarisha usafi wa jiji hilo mbali na kubuni nafasi za ajira. Waziri wa mazingira na maji wa kaunti ya Mombasa, Kibibi Abdallah, amesema vijana wapatao 500 tayari wameajiriwa kwenye awamu ya majaribio ya mpango huo. Vijana hao watapokea vijigari vya tuktuk ambavyo watatumia kukusanya takataka mitaani na kuipeleka kwenye majalala. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive