Maombi katika mnara yakisema Papa Francis apone kwa haraka
Vatican imesema kwamba kiongozi wa kanisa katoliki Papa Francis anaweza kuamka na kula kiamsha kinywa.
Francis, mwenye umri wa miaka 88, anaugua homa ya mapafu na maradhi mengine ambayo yameathiri hali ya kupumua.
Vatican imesema jana alhamisi kwamba afya ya Papa imeimarika kidogo na moyo wake unafanya kazi vyema, lakini wamesema itachukua muda kujua iwapo dawa anayopewa inafanya kazi.
Madaktari wamesema kwamba mgonjwa mwenye umri mkubwa kama Papa Francis, huenda akachukua hadi wiki mbili kupona Nimonia.
Francis alilazwa katika hospitali ya Gemelli mjini Rome, Februari 14. - Vyanzo mbalimbali
#papa #papafrancis #hospitali #kanisakatoliki #voa #voaswahili #buenosaires #argentina
16 Jun 2025
- The medics allege a sinister plot by the government.
16 Jun 2025
- This is the latest government plan slated to benefit ordinary Kenyans.
16 Jun 2025
- Kenya is already expecting some Ksh75 billion from the IMF in climate funding expected this November.
16 Jun 2025
- The Director of Public Prosecutions (DPP) has told the court that Nairobi Central Police Station OCS Samson Taalam interfered with crucial evidence related to an ongoing investigation into the death of Albert Ojwang in police custody.
16 Jun 2025
- Former Deputy President Rigathi Gachagua has urged the Kenyan youth to avoid taking to the streets on June 25 to commemorate the deadly aftermath of the anti-tax protests , warning that there is a plot to kill them.
16 Jun 2025
- Former Chief Justice David Maraga now wants president William Ruto to take action following the heinous murder of teacher Albert Ojwang', saying the buck stops with him as the head of government.
16 Jun 2025
- The Independent Policing Oversight Authority (IPOA) has filed a miscellaneous application seeking to detain Nairobi Central Police Station OCS, Samson Taalam, for 21 days to allow completion of investigations into the gruesome murder of blogger Albert…
16 Jun 2025
- The medics allege a sinister plot by the government.
16 Jun 2025
- Move comes as a ‘critical boost’ to extension services
16 Jun 2025
- Garissa leaders say moving the facilities will enhance services
16 Jun 2025
- This is the latest government plan slated to benefit ordinary Kenyans.
16 Jun 2025
- He is the first to declare his bid, saying his clan is tired of playing second fiddle
16 Jun 2025
- The school is mainly financed by the Ministry of Education and partners