Skip to main content
Skip to main content

Jamii ya Iteso kutoka Kenya na Uganda yapambana na dhuluma za kijinsia

  • | Citizen TV
    515 views
    Duration: 4:20
    Jamii pana ya Iteso kutoka nchi za Kenya na Uganda wameungana na kuzindua mpango wa kupigana na uovu katika jamii yakiwemo maswala ya ndoa za utotoni, dhuluma za kijinsia pamoja na malezi duni katika ufalme wao.