Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto atakamilisha ziara ya siku tatu Kaunti ya Nakuru leo

  • | Citizen TV
    355 views
    Duration: 3:32
    Katika siku ya tatu na ya mwisho ya ziara yake Kaunti ya Nakuru, Rais William Ruto anazindua mashine ya kupiga picha za kutambua hali ya mgonjwa CT scan katika hospitali ya rufaa ya Nakuru. Kadhalika ataelekea eneo la Kiptangwanyi ambapo atawapa baadhi ya wakazi hatimiliki za mashamba.