Skip to main content
Skip to main content

Mwanafunzi alidhulumiwa na polisi Naroosura Narok Kusini

  • | Citizen TV
    759 views
    Duration: 1:48
    Rais wa Chama Cha Wanasheria nchini Faith Odhimbo ameongeza sauti yake kutaka haki kwa mwanafunzi wa miaka 17 aliyedhulumiwa na maafisa wa polisi eneo la Naroosura Narok Kusini baada ya madai ya wizi.