- 92 views
Serikali imetangaza kwamba itakabiliana vilivyo na wanyakuzi wa ardhi wanaohusishwa na taharuki ya uskwota inayozidi kuongezeka katika kaunti ya Machakos. Akiongea baada ya kuongoza mikutano ya kampeni ya kudumisha usalama kwa jina Jukwaa la Usalama mjini Machakos, waziri wa usalama wa taifa Kipchumba Murkomen alifichua kwamba maafisa wa ngazi ya juu serikalini,wanasiasa,maafisa wa polisi na wale wa ardhi pamoja na magenge ya wahalifu ni miongoni mwa watu wanaojishirikisha na biashara haramu ya ardhi, hali ambayo imeifanya kaunti ndogo ya Mavoko kuwa mafichoni makuu ya wahalifu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Maafisa wa serikali wanaoshirikiana na wanyakuzi wa ardhi waonywa
- 1 May 2025 - Ukraine expects to sign a much-anticipated minerals deal with the United States in "the next 24 hours", Prime Minister Denys Shmygal said Wednesday, as both sides finalised details.
- 1 May 2025 - Israeli Defence Minister Israel Katz ordered troops to deploy on Wednesday to support firefighters battling rapidly spreading wildfires near Jerusalem, calling the situation a "national emergency".
- 1 May 2025 - US President Donald Trump said Wednesday he was considering legal action against the New York Times, in his latest attack on a major media outlet.
- 1 May 2025 - Kasipul MP Charles Ong'ondo Were has been shot dead this evening at the City Mortuary round about in Nairobi.
- 1 May 2025 - The government now says it has not introduced any new taxes in the Finance Bill 2025, saying the move is meant to reduce the high cost of living in the country.
- 1 May 2025 - Trapped abroad, silenced at home: the agony of job-seeking Kenyans
- 1 May 2025 - Why you are likely to lose your land to family, not fraudsters
- 1 May 2025 - How Barrakoi six were shot dead by police as kin cry out for justice
- 1 May 2025 - Private firms sack workers as State wage bill continues to rise
- 1 May 2025 - Nothing to celebrate: Workers decry Labour Day amid hard times