- 148 views
Shule za sekondari za umma zinakabiliwa na hali ngumu huku shughuli nyingi zikitatizika kutokana na ukosefu wa umma. Hali hii imesababishwa na kucheleweshwa kwa fedha za ufadhili zinazotolewa na serikali. Mwenyekiti wa muungano wa walimu wakuu wa shule za sekondari - KESSHA- Willy Kuria, amesema kuwa wizara ya elimu ilitoa shilingi 8,319 kwa kila mwanafunzi katika awamu ya kwanza ya ufadhili wa muhula wa kwanza badala ya shilingi 11,122. walimu wakuu hawajapokea ufadhili uliosalia wa muhula wa kwanza na ufadhili wa muhula wa pili. Kuria anasema kuwa hali hiyo inatatiza shule za umma kwani muhula wa pili una shughuli nyingi zaidi.
Walimu wakuu walilia pesa za wanafunzi
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction
- 6 Jul 2025 - 35 years later, Saba Saba continues: Meeting of different generations, same script
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist
- 6 Jul 2025 - Opposition leaders slam Ruto over state house church plans
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted