- 1,165 views
Tume ya ugavi wa mapato (CRA) imesema kuwa mapato ya kaunti yamepungua kwa shilingi bilioni 157. CRA inasema kuwa kaunti zimeandikisha mapato ya shilingi bilioni 59 badala ya shilingi bilioni 216. mwenyekiti wa tume hiyo Mary Wanyonyi Chebukati kaunti hazijakusanya mapato kama inavyotarajiwa na hivyo sababu ya kutegemea pakubwa mgao wa pesa kutoka kwa serikali kuu. kaunti za Mombasa na Machakos zimetajwa kama bora zaidi kwa ukusanyaji wa mapato kutokana na mikakati iliyowekwa ya kuziba mianya ya ubadhirifu na ukusanyaji wa ushuru. aidha amesema pesa zinazotolewa za kusafirisha bidhaa kutoka kaunti moja hadi nyingine - CESS - zinahujumu ugatuzi.
Madereva walalamikia ujambazi Baringo
- 2 May 2025 - The Democratic Republic of Congo has launched a bid to strip former President Joseph Kabila of immunity so he can face trial on charges of supporting the M23 insurgency in the country's east, where the government is seeking to draft a peace deal this…
- 2 May 2025 - Transgender women will no longer be able to play in women's football from June 1, England's Football Association announced Thursday, following a major shift in its stance.
- 2 May 2025 - Investigations into the murder of Kasipul Member of Parliament, the late Charles Were, have zeroed in on a suspect who was captured trailing the legislator minutes before he was gunned down along Valley Road.
- 2 May 2025 - Showdown looms as banks reject CBK's cheap loans reform plan
- 2 May 2025 - NLC's ill-fated move to withdraw Angata titles led to protests
- 2 May 2025 - How employers are denying their workers permanent jobs
- 2 May 2025 - The President directed the Labour CS to facilitate employees on contract to join unions as he underscored what he termed as the States milestones.
- 1 May 2025 - Labour Day celebrations at Uhuru Gardens in Nairobi were marked by visible tension after the Federation of Kenya Employers (FKE) was denied a chance to address workers during the national event.
- 1 May 2025 - Kenyan workers had nothing to smile home about, as the country marked the third Labour Day celebration under the Kenya Kwanza administration.
- 1 May 2025 - May marks the end of the “Long Rains” season across much of the country, except for the Coastal and western regions, where rainfall typically extends into June. In the monthly forecast, the Kenya Meteorological Department says several parts of the…