- 326 views
vuta nikuvute ya basari ikiendelea kuhusu magavana kutoa basari, maseneta sasa wanashinikiza kaunti ziendelee kutoa ufadhili kwa wanafunzi wa shule za taasisi. Wito huo unajiri kutokana na hali ya switafahamu kufuatia kauli ya Mdhibiti wa Bajetikuwa serikali za kaunti hazina msingi wa kisheria wa kuwapa basari wanafunzi wa taasisi za elimu ya juu, akisisitiza kuwa ni jukumu la serikali kuu. maseneta wanasema kuwa kaunti zinafaa kupewa mamlaka ya kusimamia fedha hizo kwa vile Magavana na wawakilishi wadi wako karibu zaidi na wakazi ikilinganishwa na wabunge ambao kazi zao ni za kutunga sheria.Maseneta hao walizuru bunge la Kaunti ya kilifi.
Maseneta watetea basari za taasisi za elimu
- 2 May 2025 - The Democratic Republic of Congo has launched a bid to strip former President Joseph Kabila of immunity so he can face trial on charges of supporting the M23 insurgency in the country's east, where the government is seeking to draft a peace deal this…
- 2 May 2025 - Transgender women will no longer be able to play in women's football from June 1, England's Football Association announced Thursday, following a major shift in its stance.
- 2 May 2025 - Investigations into the murder of Kasipul Member of Parliament, the late Charles Were, have zeroed in on a suspect who was captured trailing the legislator minutes before he was gunned down along Valley Road.
- 2 May 2025 - NLC's ill-fated move to withdraw Angata titles led to protests
- 2 May 2025 - How employers are denying their workers permanent jobs
- 2 May 2025 - Showdown looms as banks reject CBK's cheap loans reform plan
- 2 May 2025 - The President directed the Labour CS to facilitate employees on contract to join unions as he underscored what he termed as the States milestones.
- 1 May 2025 - Labour Day celebrations at Uhuru Gardens in Nairobi were marked by visible tension after the Federation of Kenya Employers (FKE) was denied a chance to address workers during the national event.
- 1 May 2025 - Kenyan workers had nothing to smile home about, as the country marked the third Labour Day celebration under the Kenya Kwanza administration.
- 1 May 2025 - May marks the end of the “Long Rains” season across much of the country, except for the Coastal and western regions, where rainfall typically extends into June. In the monthly forecast, the Kenya Meteorological Department says several parts of the…