- 253 views
Kinyume na awali ambapo walikosa kurejea mashinani kwa kushiriki kumng’atua aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua afisini, Wandani wa Rais William Ruto katika kaunti ya Nyeri wameonekana kurejea mashinani kwa kishindo, kutetea sera za serikali ya Kenya Kwanza. Wakiongozwa na katibu katika wizara ya Kawi Alex Wachira, Viongozi hao ambao wameanzisha vikao vya Faragha na wakaazi wa kaunti hiyo, wamewataka wakazi kutoshurutishwa kujitenga na serikali, ila wajitahidi kuiunga serikali mkono kwa manufaa yao.Juhudi hizo zinazoonekana kupata kasi baada ya ziara ya Rais William Ruto eneo la kati majuma matatu yaliyopita, zinanogeshwa huku akitarajiwa tena eneo hili mwezi wa nane.
Wandani wa Rais Ruto kaunti ya Nyeri watetea utendakazi wa serikali
- 3 May 2025 - US President Donald Trump posted on Friday a spoof picture of himself dressed as the pope on his Truth Social platform after joking that he would like to be the next Catholic pontiff.
- 3 May 2025 - The cardinals of the Catholic Church held their ninth in a series of near-daily meetings at the Vatican on Saturday ahead of the election of a new pope.
- 3 May 2025 - The Police Reforms Working Group-Kenya (PRWG-Kenya) has called for the Directorate of Criminal Investigations (DCI) to drop the charges against four film-makers who were arrested for allegedly publishing false information.
- 3 May 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has launched investigations into a saga involving the Busia County Government that allegedly set aside Ksh.200 million to purchase a piece of land, which Busia Senator Okiya Omtatah claims already belongs…
- 3 May 2025 - Rising from school wildlife clubs to parks conservation champions.
- 3 May 2025 - The incident comes just days after several people lost their lives around the same area.
- 3 May 2025 - Former President Uhuru Kenyatta explained how the late President Moi wasn't afraid of youths.
- 3 May 2025 - All four Blood Parliament filmmakers, who were arrested last night for allegedly sharing false information, have been released from Pangani Police Station.
- 3 May 2025 - This comes just weeks after another goalkeeper who represented Kenya severally was put on the spot over similar allegations.
- 3 May 2025 - The Finance Bill 2025 is due at a time of measured confidence in Kenya’s economy.