Ufahamu Msikiti Mkuu wa Makka: Moyo wa imani ya Kiislamu
Msikiti Mkuu wa Makka ni mahali patakatifu sana kwa Waislamu duniani, ambapo mamilioni ya waumini hukusanyika kila mwaka kwa ajili ya ibada ya Hajj. Kwenye msikiti huu kuna Kaaba, jengo la mawe lenye umbo la mche mraba ambalo Waislamu wanaamini lilijengwa na Mitume Ibrahim na mwanawe Ismail, na ndiyo mwelekeo wa sala za Waislamu wote duniani.
Msikiti huu umeendelea kupanuka kwa karne nyingi ili kuhimili idadi kubwa ya watu wanaokuja kusali, hasa wakati wa Hajj na Ramadhani.
Leo unachukua eneo kubwa sana na unaweza kupokea hadi watu milioni tatu kwa siku, ukiwa umeboreshwa kwa vifaa vya kisasa kama viyoyozi, ngazi za umeme, na kamera za usalama, na hivyo kuendelea kuwa kitovu cha imani na umoja wa Waislamu duniani.
Mwandishi wa BBC @munie_noor anauangazia msikiti huu maarufu
🎥: Frank Mavura -
#bbcswahili #Hajj #IDD
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
7 Jun 2025
- The incident is said to have occurred in the wee hours of Saturday morning.
7 Jun 2025
- IG Kanja had accused the lawmaker of faking his abduction.
7 Jun 2025
- Millions of Kenyans contribute to the Housing Levy every month in statutory deductions.
7 Jun 2025
- Juja Member of Parliament George Koimburi has broken his silence following what he describes as an abduction ordeal, dismissing the claims from the National Police Service (NPS) that the entire incident was staged.
7 Jun 2025
- Central Organization of Trade Unions (COTU) Secretary General Francis Atwoli has refuted claims made by the Principal Secretary for Housing and Urban Development, Charles Hinga. alleging that the union was involved in drafting the regulations that manage…
7 Jun 2025
- An international operation against child pornography led by Spanish police has resulted in the arrest of 20 people in 12 nations across the Americas and Europe, Interpol said.
7 Jun 2025
- Government spokesperson Isaac Mwaura has dismissed claims that his office was allocated Ksh.36 billion in the 2025/26 budget, citing that such allegations are misleading and inaccurate.
7 Jun 2025
- Kirinyaga Governor Anne Waiguru has called for respect among elected leaders to avoid unnecessary conflicts.
7 Jun 2025
- The incident is said to have occurred in the wee hours of Saturday morning.
7 Jun 2025
- Arsenal forward Bukayo Saka has been left out of the England squad that will face Andorra in Saturday’s World Cup qualifier. Atletico Madrid midfielder Conor Gallagher and Aston Villa striker Ollie Watkins have also been left out of the matchday squad,…
7 Jun 2025
- Four people have been confirmed dead and five others injured after a gold mine collapsed early Saturday morning at Karon village,Turkwel area West Pokot County.
7 Jun 2025
- US President Donald Trump said Friday that Elon Musk had "lost his mind" but insisted he wanted to move on from the fiery split with his billionaire former ally.
7 Jun 2025
- They called for a national show of solidarity by staying away from work.