- 14,571 views
Afisa mkuu wa polisi kituo cha central Samson Talam amekamatwa kwa madai ya kuhusika na kifo cha mwalimu na mwanablogu Albert Ojwang'. Talam alikamatwa alasiri ya leo na maafisa wa kitengo cha kuchunguza malalamishi dhidi ya polisi na kufikishwa katika ofisi za mamlaka ya kuchunguza utendakazi wa polisi (IPOA) inayochunguza kifo cha ojwang'. Talam alikamatwa saa chache baada ya raia mmoja kukamatwa kwa kosa la kufuta kanda ya CCTV katika stesheni ya central na kudaiwa kulipwa shilingi 3,000. Haya yalijiri huku afisa mwingine wa polisi james mukhwana aliyekamatwa alhamisi akifikishwa mahakamani.
Watu zaidi wakamatwa kwa kuhusishwa na mauaji ya Ojwang'
- - 🔴TV47 Live ››
- - 🔴TV47 Live ››
- 15 Jun 2025 - A peace deal between Rwanda and the Democratic Republic of Congo, being brokered by the United States, will no longer be signed on June 15, Rwanda’s minister said Saturday.
- 15 Jun 2025 - An overnight attack in a central Nigerian town killed at least 45 people, a spokesman for the state governor's office told AFP on Saturday.
- 15 Jun 2025 - Kenya continues to enjoy cordial and strategic relations with the European Union (EU) and the European Investment Bank (EIB), with the partnership playing a vital role in the country’s energy transition agenda.
- 15 Jun 2025 - Agikuyu elders rekindle Abaluhya ties
- 15 Jun 2025 - Mic check: How Kindiki found his voice in grassroots empowerment drives
- 15 Jun 2025 - Broad-based bait: Kenya Kwanza on expedition to fish Kalonzo
- 15 Jun 2025 - Ojwang's murder exposes Ruto's nervous regime backed by Raila
- 15 Jun 2025 - Smart protests: How the digital generation revolutised dissent
- 15 Jun 2025 - Losing identity? Questions rise as ODM supports disliked policies
- 15 Jun 2025 - It's a mixed bag for Michael Joseph as he formally exits Kenya Airways