Skip to main content
Skip to main content

Wanasiasa wasutwa kwa kuchochea wakazi Chwele/Kabuchai katika kampeni za uchaguzi

  • | Citizen TV
    315 views
    Duration: 1:38
    Huku uchaguzi mdogo wa Wadi ya Chwele/Kabuchai unapotarajiwa kufanyika tarehe 27 Novemba,viongozi kutoka Kaunti ya Bungoma wametakiwa kutochochea wananchi na badala yake kudumisha amani.