Skip to main content
Skip to main content

Hoja ya kumtimua Gavana wa Nyamira yawasilishwa bungeni

  • | Citizen TV
    792 views
    Duration: 1:16
    Mwakilishi wadi ya Bonyamatuta Julius Matwere amewasilisha rasmi hoja inayolenga kumwondoa ofisini Gavana wa kaunti ya Nyamira Amos Nyaribo.