Skip to main content
Skip to main content

Idara ya mahakama yawaonya wanaodhulumu watoto Loitokitok

  • | Citizen TV
    309 views
    Duration: 1:18
    Huku idara ya mahakama ikiendelea kuhamasisha umma mwezi huu wa Novemba kuhusu haki na namna ya kuwalinda watoto dhidi ya dhuluma, hakimu mkuu katika mahakama ya Loitokitok kaunti ya Kajiado Esther Kimilu ametoa onyo kuwa mahakama hiyo haitasita kuwachukulai hatua kali za kisheria wale wanawadhuluma watoto.