Skip to main content
Skip to main content

NTSA yawaonya madereva dhidi ya kuharibu vidhibiti mwendo

  • | KBC Video
    298 views
    Duration: 2:40
    Halmashauri ya kitaifa ya uchukuzi na usalama barabarani - NTSA, imewaonya madereva dhidi ya kuvivuruga vidhibiti mwendo. Oparesheni ya ghafla iliofanywa na halmashauri hiyo ya NTSA kwenye barabara kuu ya Nakuru –Nairobi, ilibainisha kwamba licha ya vidhibiti mwendo kuwekwa kwenye magari ya uchukuzi wa umma, vimevurugwa huku vingine vikikosa kufanya kazi. Aidha, madereva wameonywa dhidi ya kuendesha magari wakiwa walevi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive