Skip to main content
Skip to main content

Mahakama yasitisha utekelezaji wa mkataba wa afya kati ya Kenya na Marekani

  • | Citizen TV
    1,649 views
    Duration: 2:32
    Mahakama imeamrisha utekelezaji wa mkataba wa afya uliotiwa saini na marais William Ruto na Donald Trump wa Marekani usitishwe. Aidha Waziri wa Masuala ya kigeni, wa Afya na wa Fedha pamoja na mwanasheria mkuu wameagizwa kutotekeleza au kuzingatia kwa vyovyote vipengee vyote vya mkataba huo hadi kesi iliyowasilishwa iamuliwe. na kama anavyoarifu melita oletenges, Jaji Chacha Mwita amesema kwamba Ombi la Seneta wa Busia Okiyah Omtatah limeafiki mahitaji ya kisheria ya kusababishwa kusitishwa kwa mkataba huo kwa muda.