Skip to main content
Skip to main content

Baadhi ya vijana waliohudhuria hafla ya kuwawezesha kiuchumi wajitokeza kudai pikipiki walizoahidiwa

  • | Citizen TV
    81,984 views
    Duration: 3:06
    Baadhi ya vijana waliohudhuria hafla ya kuwawezesha kiuchumi katika ikulu ya rais, wiki jana, wamejitokeza kudai hawakupokea pikipiki walizoahidiwa pamoja na vifaa vingine. Sasa wanadai kuhofia maisha yao baada ya kupokea vitisho walipochapisha video mtandaoni kulalamikia swala hili. Vijana hao wamekosoa mpango huo na kusema iwapo kuna yeyote aliyepokea pikipiki hizo pamoja na stakabadhi za umiliki, ajitokeze.